
Jumapili hii Katika Viwanja vya Sifa zamani kama Viwanja vya Fisi, kutakuwa na HUDUMA YA MAACHILIO Itakayojulikana kama UKOMBOZI NI HAKI YAKO.... ibada hizi zitakuwa chini ya Apostle Paul Kaisi na Nabii Debora Kaisi... Hivyo unaombwa kufika bila kukosa ili ukutane na Mwisho, Huzuni, vilio visivyoisha katika ndoa yako, Kazi zako, Biashara zako na Mwengine Mengi.
Huduma Hii itakuwa kama ifuatavyo, IBADA YA KWANZA ITAANZA SAA1:00 Mpaka SAA 3:00 ASUBUHI... Wakati IBADA YA PILI ITAANZA SAA4:00 Mpaka SAA 7:30 MCHANA.
Njoo ukutane na Watumishi wa Mungu ili Ukombozi wako utimie... KUMILIKI NA KUTAWALA NI HAKI YAKO.
No comments:
Post a Comment